African Union |
![]() Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
Executive
Legislature
Judiciary
Advisory bodies
Financial bodies
Decentralised bodies
|
Nchi zingine · Atlasi |
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na za Mataifa (kwa Kiingereza: African Court on Human and Peoples' Rights) ni mahakama ya kibara iliyoanzishwa na nchi za Afrika ili kulinda haki za binadamu na za mataifa barani humo.[1]
Uamuzi huo ulichukuliwa na OAU huko Ouagadougou, Burkina Faso, mnamo Juni 1998 ukapata nguvu ya kisheria tarehe 25 Januari 2004 baada ya nchi 15 kuupitisha kwa saini (kwa sasa zimekuwa 30[2]).
Mahakama inaundwa na mahakimu 11, wote raia wa nchi za Umoja wa Afrika. Wale wa kwanza walianza kazi yao mwaka 2006 huko Addis Ababa, Ethiopia lakini mnamo Agosti 2007 mahakama ilihamia Arusha, Tanzania.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search